Search This Blog
Thursday, October 10, 2019
Uchaguzi Mdogo Bodi ya Ligi kufanyika Desemba 7
Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi katika Shirikisho la Tanzania , TFF Malangwe Mchungahela amesema kutakuwa na uchaguzi mdogo katika Bodi ya Ligi (TPLB) utakaofanyika Desemba 7 mwaka huu ili kujaza nafasi sita zilizo wazi.
Nafasi zilizo wazi ni wajumbe watatu kutoka vilabu vya ligi kuu, wajumbe wawili kutoka vilabu vya ligi daraja la kwanza na mjumbe mmoja kutoka ligi daraja la pili.
Akizungumza na wanahabari Mchungahela amesema mchakato wa kutangaza nafasi za wagombea umeanza leo huku zoezi la kuchukua fomu likianza Oktoba 12 mpaka Oktoba 16.
Amesema mgombea ni lazima awe Mwenyekiti/Rais wa klabu ya ligi kuu, ligi daraja la kwanza na ligi daraja la pili.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment