Search This Blog

Friday, October 25, 2019

Sapraizi ya Kanye Yampagawisha Kardashian


RAPA Kanye West amempatia Kim Kardashian ambaye ni mama watoto wake kitu kisichoweza kusahaulika wakati bi’dada huyo akisheherekea miaka 39 ya kuzaliwa, juzi Oktoba 21.



Akiwa na designer wake, Kanye alimzawadia Kim kwa kuchangia dola za kimarekani million moja kwa ajili ya charities zinazopendwa na Kim kwa kutumia jina la Kim Kardashan West.




Kim alionyesha cheti katika mtandao wa Twitter, kimeandikwa, “Nimepata zawadi za kushangaza kutoka kwa familia yangu nzima na Kanye kwa mimi ni zawadi za kushangaza.



“Lakini pia Kanye alichangia dola za kimarekani milioni moja kwenye charities nazozipenda zinazofanya kazi ngumu kwenye jela kwa ajili yangu, yeye na Watoto. Hii inafanya moyo wangu kuwa na furaha!” aliandika Kim.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...