Search This Blog
Friday, October 25, 2019
Sapraizi ya Kanye Yampagawisha Kardashian
RAPA Kanye West amempatia Kim Kardashian ambaye ni mama watoto wake kitu kisichoweza kusahaulika wakati bi’dada huyo akisheherekea miaka 39 ya kuzaliwa, juzi Oktoba 21.
Akiwa na designer wake, Kanye alimzawadia Kim kwa kuchangia dola za kimarekani million moja kwa ajili ya charities zinazopendwa na Kim kwa kutumia jina la Kim Kardashan West.
Kim alionyesha cheti katika mtandao wa Twitter, kimeandikwa, “Nimepata zawadi za kushangaza kutoka kwa familia yangu nzima na Kanye kwa mimi ni zawadi za kushangaza.
“Lakini pia Kanye alichangia dola za kimarekani milioni moja kwenye charities nazozipenda zinazofanya kazi ngumu kwenye jela kwa ajili yangu, yeye na Watoto. Hii inafanya moyo wangu kuwa na furaha!” aliandika Kim.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment