Search This Blog

Wednesday, October 9, 2019

Rais Magufuli atembelea Hifadhi ya Taifa ya Katavi


Rais Magufuli ameonyesha kwa vitendo maana ya utalii wa ndani kwa kutembelea hifadhi ya taifa ya Katavi.

Alipata pia wasaa wa kuzungumza na wahifadhi na kuwasisitiza umuhimu wa kutunza maliasili za taifa.

“Wapo wenzenu wachache wanaoshirikiana na majambazi, waache na wakipatikana wa namna hiyo, peleka mahakamani wafunguliwe kesi ya uhujumu uchumi," amesema Rais Magufuli.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...