Search This Blog

Monday, October 14, 2019

PSG kumkosa Neymar kwa wiki nne


Klabu ya Paris Saint German (PSG) imethibitisha kuwa Neymar atakuwa nje ya uwanja kwa takribani wiki nne kufuatia kupata maumivu ya nyama za paja.

PSG wanatarajia kumkosa Neymar katika michezo yote miwili ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya Club Brugge.

Ikumbukwe mchezaji huyo alipata majeraha hayo katika mechi ya kirafiki ya Brazil dhidi ya Nigeria Oktoba 13 mwaka huu.




No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...