Search This Blog

Monday, October 21, 2019

Picha za Sarah Wairimu Aliyemuua Mume Wake Mzungu, Baada ya Kuachiliwa Huru Kwa Dhamana



Sarah Wairimu Kamotho au Sarah Cohen ambaye ni mke wa marehemu bilionea Tob Cohen, ameachiliwa huru na mahakama kwa dhamana ya KSh 2 millioni baada ya kumuua mumewe na kumfunga kwa mifuko ya plastiki na kumtupa kwenye shimo la maji machafu na kuziba kwa saruji.

Sarah Wairimu aliiomba mahakama imwachie ili akasimamie mali za mumewe,



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...