Search This Blog
Tuesday, October 29, 2019
Ndugu Waanza Kutambua Maiti ya Ajali ya Gari iliyoanguka Katika Daraja Handeni
Miili ya watu waliopoteza maisha kutokana na ajali iliyotokea katika Wilaya ya Handeni mkoani Tanga imeanza kutambuliwa na ndugu zao.
Gari waliyokuwa wanasafiria lilianguka katika daraja lililokatika kutokana na mvua zilizokuwa zikiendelea kunyesha mkoani humo.
Jitihada mbalimbali zinaendelea ili kuhakikisha barabara ya Kilindi Handeni inafunguka na kikosi jeshi cha 121 kutoka Ngerengere kimeanza kuleta vifaa kwa ajili ya ujenzi wa madaraja yaliyokatika.
Wakati huo huo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Edward Bukombe amesema kuwa idadi ya watu waliofariki kutokana na ajali hiyo imeongezeka na kufikia watu 12 baada ya kupatikana kwa miili miwili.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment