Search This Blog
Wednesday, October 2, 2019
Msajili wa vyama vya Siasa awalima baruda CHADEMA
Msajili wa Vyama vya Siasa amekiandikia Chama cha CHADEMA barua ya kukitaka kijieleze haraka kwa nini kisichukuliwe hatua kali kutokana na kukiuka Katiba ya CHADEMA.
Msajili amefikia hatua hiyo baada ya viongozi Wakuu wa CHADEMA kuendelea kuwa viongozi wakati uongozi wao ulitakiwa ukome tarehe 14 Septemba 2019 kwa mujibu wa Katiba ya CHADEMA Ibara ya 6.6.3 inayochagizwa na Ibara ya 6.3.2(a) inayosema kila kiongozi wa CHADEMA atakaa madarakani kwa muda wa miaka 5.
Msajili amekitaka CHADEMA kitoe sababu zenye mashiko kwa nini kisichukulie hatua kali kwa mujibu wa kifungu cha 4(5) cha Sheria ya Vyama vya Siasa Sura ya 258.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano anayeshughulikia Sekta ya Ujenzi, Arch. Elius Mwakalinga, akitoa maelekezo kwa Kai...



No comments:
Post a Comment