Search This Blog
Thursday, October 3, 2019
Mkurugenzi Suma JKT: Mchezaji atakayeifunga goli Simba, Yanga nitampa laki 5 katika mshahara wangu
Mkurugenzi Mtendaji wa SUMA JKT, Kanali Rajabu Mabele ameupongeza uongozi mpya wa klabu ya JKT Tanzania uliyochaguliwa wikili iliyopita nakuwataka kuhakikisha timu hiyo inafanya vizuri zaidi katika ligi kuu soka Tanzania Bara.
Katika mazungumzo yake wakati uongozi huo mpya ukikabidhiwa nyaraka za ofisi, Kanali Mabele amewahimiza wachezaji kuongeza juhudi huku akiwaahidi kwa mchezaji yoyote atakayefanikiwa kufunga goli wakati timu hiyo ikiwa inacheza na moja klabu kubwa nchini iwe Simba, Yanga ama Azam basi atampatia zawadi ya Tsh laki 5.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment