Search This Blog
Monday, October 7, 2019
Mkurugenzi Mkuu Mstaafu wa Usalama wa Taifa afariki dunia
Mkurugenzi mkuu mstaafu wa Idara ya Usalama wa Taifa (Tiss), Apson Mwang’onda (75) amefariki dunia jana nchini Afrika Kusini.
Taarifa za familia yake zinaeleza kuwa Mwang’onda alikuwa akisumbuliwa na saratani alilazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) na baadaye kuhamishiwa Afrika Kusini.
Mwang’onda alikuwa mkurugenzi wa idara hiyo kuanzia mwaka 1995 hadi 2005, akiwa mkurugenzi wa sita wa idara hiyo tangu mwaka 1961.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano anayeshughulikia Sekta ya Ujenzi, Arch. Elius Mwakalinga, akitoa maelekezo kwa Kai...

No comments:
Post a Comment