"Umekuwa wakati mzuri sana kwenye tasnia ya habari na burudani haswa kwa Familia ya EFM Radio na TVE kuwa na Mtangazaji na Kiongozi wa namna yako. “CHUMVI” @kitengemaulid .
Kwa dhati kabisa tunashukuru kwa mchango wako na matumizi mazuri ya taaluma yako katika kuupasha habari Uma wa Watanzania. Miaka mitano kwa Efm naamini ni muda mzuri uliotosha kukujenga, kuwapa hamasa vijana wengine, kujifunza vitu vipya na kuwa miongoni mwa Timu kubwa iliyofanya Taasisi ya EFM na TVE kufika hapa tulipo. .
Uongozi wa Efm unakutakia kila lenye kheri katika mapambano na majukumu yako mapya. Tunaamini hautatuangusha katika utendaji wako kama ilivyo desturi yetu “HATUPOI, HATUBOI” cc @efmtanzania @tvetanzania" Ameandika DJ Majizzo
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano anayeshughulikia Sekta ya Ujenzi, Arch. Elius Mwakalinga, akitoa maelekezo kwa Kai...

No comments:
Post a Comment