Search This Blog

Sunday, October 27, 2019

KARIBU MGENI:RC GAMBO ALIVYOMPOKEA MISS WORLD JIJINI ARUSHA

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo akimpa zawadi ya maua Miss World, Vannesa Ponce mara baada ya kuwasili mwishoni mwa wiki katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA), kulia ni Miss Tanzania, Sylivia Sebastian.


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...