Search This Blog
Tuesday, October 22, 2019
Kamati ya Haki za Wasanii yazinduliwa
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Mwakyembe leo amezindua kamati maalum kwaajili ya kusimamia haki za kazi za wasanii.
Mwenyekiti wa Kamati hiyo atakuwa ni Sarah Nsangizyo Zilahulula na Katibu wake atakuwa ni Dkt. Kiagho Kilonzo ambaye ni Kaimu Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania (TFB).
Akizungumza katika uzinduzi huo uliofanyika leo jijini Dar es Salaam, Dkt. Mwakyembe ameitaka kamati hiyo kufanya kazi kwa weledi ili kuhakikisha wasanii wanafaidika na kazi wanazozifanya badala ya kudhulumiwa.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...


No comments:
Post a Comment