Search This Blog
Saturday, October 19, 2019
Hamisa Mobetto: Siachi MUZIKI kwa Maneno ya Watu
MREMBO ambaye kwa saa anatamba na kibao chake cha Sensema akimshirikisha Whozu, Hamisa Mobeto amesema kamwe hatarajii kuacha kufanya muziki unaomuingizia pesa nyingi kisa maneno ya watu.
Akipiga stori na Mikito Nusunusu, Mobeto alisema mara nyingi watu wanaokatisha wenzao tamaa ndiyo hao ukianza kufuatilia maisha yao unakuta hata baiskeli au bajaj hawana.
NAFASI ZA 98 AJIRA ZILIZOTANGAZWA LEO BONYEZA HAPA
“Mimi siwezi kuacha kufanya muziki kwa sababu ya maneno ya watu f’lani waliokosa kazi za kufanya, acha waseme kuwa mimi sijui kuimba mara ooh nimevamia fani lakini hawajui nia na malengo yangu ya kuingia kwenye hii fani, wala hawajui mimi nafaidika na nini,” alisema.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano anayeshughulikia Sekta ya Ujenzi, Arch. Elius Mwakalinga, akitoa maelekezo kwa Kai...

No comments:
Post a Comment