Search This Blog
Friday, October 25, 2019
Haji Manara Awachokoza YANGA Akwea Ndege Kuelekea Mwanza...Aomba Mapokezi Mazito
Ofisa Habari wa klabu ya Simba, Haji Manara, amekwea pipa kuelekea Mwanza kwa ajili ya shughuli zake binafsi.
Manara ameamua kwenda Mwanza ambapo Yanga Jumapili hii watakuwa wana mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Pyramids ya Misri.
Licha ya Manara kuelekea jijini humo, awali alieleza kuwa baada ya Yanga kuamua kuhamishia mechi badala ya uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kwenda Mwanza, naye alisema atawafuata hukohuko Mwanza.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Manara ameandika akiwaomba watu wa Mwanza wampe mapokezi kabambe.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment