Dada wa Diamond Platnumz Esma Platumz amefunguka sakata la Mwijaku kuhusishwa kusambaza video za utupu za Menina kwa kusema haya
"Huyu mtu wenu alikuwa anatuangalia sana sisi vibaya na pia alikuwa anamuongelea mdogo wangu vibaya sijui malipo ni hapa hapa Dunia ,kama hivi dada ake naye kafanyiwa sijui na kafanyiwa, na yeye nasema kila anapomzungumzia na kumyooshea kidole vidole vingine vinakuonyeeshea wewe na yeye amepata malipo yake, alikuwa anapenda kutuzungumzia sana na hatumjui, Yamemkuta sasa"
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment