Search This Blog

Thursday, October 17, 2019

EDO Kumwembe NAYE Atimkia Wasafi FM..Diamond Platnumz ni Upepo wa Kisulisuli....

PICHA : Mtangazaji mpyaa wa WASAFI FM, EDO KUMWEMBE Tayari amekutana na Msanii Diamond jana Hii na Kufanya nae mazungumzo, Hii ni baad ya Maulid Kitenge nae kutangaza kujiunga na Radio hiyo ya Wasafi FM....Hakika upepo wa kisulisuli unaelekea WASAFI

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...