Search This Blog
Sunday, October 6, 2019
Diamond atwaa tuzo Ulaya
Mwanamziki Maarufu kwa sasa Barani Africa Diamond Platnumz Ajinyakulia Tuzo ya Boa Tuzo Hizo pia zimewaendea Wachezaji Kutoka Ligi kuu Nchini Uingereza Ngolo kante kutoka club ya Chelsea pamoja na star wa crystal palace wilfred Zaha.
Tuzo za Best of Africa huwa zinawahusisha zaidi wanasoka pamoja na watu mashuhuri mbalimbali ambao wanafanya vizuri kutoka Africa, Diamond Platnumz ni Mmoja ya Mastaa waliohudhuria Mwaka Huu.
Pichani chini ni Diamond akiwa na aliyewahi kua mkali wa soka beki wa zamani wa Manchester United akifahamika kwa jina Rio Ferdinand.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...


No comments:
Post a Comment