Search This Blog
Wednesday, October 16, 2019
Dar es Salaam Mambo Safi Yawa Kinara wa Matokeo ya Darasa la Saba 2019
Mkoa wa Dar es Salaam umeshika nafasi ya kwanza kwa ufaulu wa mitihani ya Taifa ya Darasa la Saba mwaka 2019. Nafasi ya pili ni Arusha na Iringa ukishika nafasi ya tatu, Mikoa mingine ni Kagera (4), Katavi(5) Kilimanjaro(6), Mbeya(7), Simiyu(8), Njombe(9) na Pwani nafasi ya 10.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano anayeshughulikia Sekta ya Ujenzi, Arch. Elius Mwakalinga, akitoa maelekezo kwa Kai...


No comments:
Post a Comment