Search This Blog
Monday, October 28, 2019
CCM yawaonya wanaotumia rushwa kusaka uongozi
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi ( CCM) Tanzania Bara, Philip Mangula amesema kuwa, chama hicho hakitamvumilia Mwanachama yeyote anayetumia rushwa kutafuta uongozi.
Mangula ametoa kauli hiyo mkoani Simiyu wakati wa kikao cha utoaji wa taarifa ya utekelezaji wa ilani ya CCM mkoani humo.
"Hatutaki viongozi wapenda rushwa, tunataka watu wenye moyo wa kuwatumikia Wananchi, maana rushwa ni adui wa haki, yeyote atakayetumia fedha zake kununua kura hata kama atapata kura nyingi kiasi gani tutamfyekelea mbali," amesisitiza Mangula.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment