Search This Blog

Wednesday, October 30, 2019

Afande Sele Adai Rais Magufuli Pekee Ndio Uwekewe UKOMO wa Miaka 30 Urais, Akimaliza Turudi Kwenye 10

Kuhusu kuondoa ukomo wa mihula ya urais, napendekeza mabadiliko yafanyike na yaandikwe kabisa kwenye katiba ya kwamba anayeongezewa mda ni Rais @MagufuliJP, akimaliza miaka yake 30 tunarudi kwenye utaratibu huu wa kawaida wa miaka 10 tulionao sasa hivi :Afande Sele
#Ukomo_Urais.

Toa maoni yako kisha #SHARE

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...