Search This Blog

Saturday, September 7, 2019

Yanga Yaambulia Sare Dhidi ya Pamba

 

Pamba SC wameweza kupata sare ya 1-1 mbele ya mabingwa wa kihistoria wa Tanzania Bara, Yanga SC katika mchezo wa kirafiki iliyopigwa kwenye dimba la CCM Kirumba jijini Mwanza. 


Pamba ilikua ya kwanza kupata bao dakika ya 31 kupitia kwa Saad Kipanga na Yanga kusawazisha dakika ya 90 kupitia kwa David Molinga. 


Pamba iliweza kucheza pungufu kwa takribani dakika 60 baada ya kiungo wake Hamis Thabit kutolewa kwa kadi nyekundu kwa kuonesha mchezo usio wa kiungwana kwa Feisal Salum.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...