Search This Blog
Sunday, September 1, 2019
Will Smith aondoka nchini baada ya kutalii Serengeti
Msanii na Mchezaji Filamu maarufu kutoka nchini marekani Will Smith akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya watumishi wa hifadhi ya Taifa ya Serengeti alipokuwa akijiandaa kuondoka baada ya kumaliza Mapumziko yake ya siku tano katika hifadhi ya Taifa ya Serengeti.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...


No comments:
Post a Comment