Search This Blog

Saturday, September 21, 2019

WAFANYAKAZI NMB WAADHIMISHA SIKU YA USAFI DUNIANI KWA KUFANYA USAFI


Katika kuadhimisha siku ya usafi duniani wafanyakazi wa benki ya NMB wameshiriki kufanya usafi katika maeneo mbalimbali nchini kote, tazama matukio ya picha katika mikoa na maeneo mbalimbali zikionesha wafanyakazi hao wakifanya usafi.
Wafanyakazi wa benki ya NMB Kanda ya Mashariki wakiendelea na usafi.


Wafanyakazi wa benki ya NMB Kanda ya Mashariki wakiendelea na usafi.
Wafayakazi wa benki ya NMB Tarime Mkoani Mara wakiendelea wakifanya usafi jana katika mji wa huo.

Wafanyakazi wa benki ya NMB tawi la Sengerema mkoani Mwanza nao walishiriki katika kufanya usafi kwenye mji huo.

Wafanayakazi wa benki ya NMB tawi la Kalius mkoa wa Tabora nao walishiriki katika kufanya usafi kwenye mji huo
Wafanyakazi wa NMB Kanda ya Dar es salaam nao walifanya usafi jijini Dar es salaam.


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...