Wasimamizi wa Uchaguzi wametakiwa kuzisoma vizuri kanuni na taratibu zilizowekwa katika kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa ambapo katibu Mkuu wa Wizara ya TAMISEMI Joseph Nyamhanga amesema kuwa kanuni hizo lazima zisomwe kwa uangalifu
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI...USIKOSE KU SUBSCRIBE

No comments:
Post a Comment