Mwenyekiti wa mtaa wa Idirisa Manispaa ya Kinondoni jiji Dar es salaam, Ali Kondo amesema hatogombea tena nafasi hiyo baada ya kuongoza miaka 19 huku akisema anawapisha watu wengine ili waweze kuleta fikra mpya.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.....USISAHAU KUSUBSCRIBE

No comments:
Post a Comment