Katibu mwenezi chadema jimbo la rusha mjini Isaya Doita amesema kuwa kauli za vitisho kwa viongozi kama mkuu wa mkoa wa Mbeya zinatakiwa zisifumbiwe macho kwa kuwa zina madhara huku akisema viongozi hao akiwemo Mh Chalamila wangetakiwa tayari washatumbuliwa katika nafasi zao
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI..USIKOSE KU SUBSCRIBE

No comments:
Post a Comment