Mwenyekiti wa Serikali ya mtaa wa Mtambani kata Mzimuni jijini Dar es salaam, Bakari Kasubi amefunguka kuhusiana na ahadi zake alizotoa mwaka 2014 wakati akiomba kura kwa wananchi ili aweze kuwatumikia ambapo pia amekili swala la taka kuwa linnampa shida kwenye utekelezaji kwani wakandarasi wengi huwa wanawakimbia kufanya kazi mtaa huo.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI......USISAHAU KUSUBSCRIBE

No comments:
Post a Comment