Search This Blog
Sunday, September 29, 2019
Unamkumbuka Mwigiza Nora ? Adai Amesahau Kama Alikuwa Staaa....
KUMBE kuna wakati unafika binadamu anasahau alikotoka? Msikie mwigizaji wa kitambo Bongo, Nuru Nassoro ‘Nora’, eti amesahau kabisa kama alishawahi kuwa staa wa sinema Bongo.
Nora ameliambia Gazeti la Ijumaa Wikienda kuwa, kwa sasa amebadilika kiakili hivyo hakumbuki kama alishawahi kuwa msanii kwani ni ishu ambayo hataki kabisa kuisikia kwa kuwa hivi sasa ameamua kumrudia Mungu mazima.
“Kuna vingine mtu hutamani hata kuvisikia maana vingi vilikuwa dhambi. Kichwani kwangu imeshafutika kabisa kama niliwahi kuwa staa wa sinema,” alisema Nora ambaye kwa sasa anafundisha maadili ya Dini ya Kiislam kama ilivyo kwa Mzee Yusuf aliyekuwa staa wa muziki wa Taarab nchini
STORI: IMELDA MTEMA,DAR
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment