VIDEO Vixen Bongo, Ana Kimario ‘Tunda’ amesema anashangaa kuona watu wakimnanga kwenye mitandao ya kijamii kuwa ameachana na mpenzi wake wa sasa Whozu wakati si kweli.
Akizungumza na Amani, Tunda alisema Wabongo siku zote wamekuwa na mawazo hasi tu badala ya kuwawazia mazuri.
“Nashangaa watu wanasema kuwa mimi nimeachana na Whozu, yaani wanapenda kuniombea mabaya tu, siku nyingine wawe wananiombea heri basi. Sasa niwapashe tu, sijaachana na Whozu na sitarajii kuachana naye, watasubiri sana kwa hili,” alisema Tunda.
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment