Search This Blog

Thursday, September 5, 2019

Rais Magufuli amjulia hali Mkurugenzi Mkuu mstaafu wa Idara ya Usalama wa Taifa


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli akimjulia hali Mkurugenzi Mkuu Mstaafu wa Idara ya Usalama wa Taifa Apson Mwang'onda anayepatiwa matibabu Jijini Dar es Salaam.





No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...