Search This Blog

Sunday, September 8, 2019

Paul Makonda Kumpatia Juma Kaseja Tsh. Milioni 10


Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars imeinga hatua ya makundi ya kuwania tiketi ya kufuzu fainali za kombe la dunia nchini Qatar mwaka 2022.

Mara baada ya Mchezo huo, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amesema kuwa atampatia Mlinda Mlango wa Taifa Stars Tsh. Milioni 10.

Katika mchezo huo Mlinda Mlango Juma Kaseja Kadaka Penalti Moja, mbili kajipanga Burundi wakakosa.

"Kama tulivyoongea jana usiku wachezaji wote mmetimiza kiapo chenu cha jana nami nawaomba kwa muda wenu nitimize kiapo changu kwenu. Mwisho kila mchezo una nyota naomba nimpatie Milioni 10 Ndugu yetu Juma Kaseja kama nyota wangu wa leo," amesema RC Makonda.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...