Search This Blog

Tuesday, September 3, 2019

Papa Francis kuaanza ziara rasmi ya kihistoria Afrika leo


Papa Francis leo anaanza ziara rasmi ya kihistoria barani Afrika na anatarajia kuzitembelea nchi za Msumbiji, Madagascar na Mauritius.

Umaskini, uhifadhi wa mazingira na ufisadi ni miongoni mwa mambo yanatarajiwa kuzungumzwa kwenye ziara ya Papa katika mataifa ya Afrika.

Wahudumu katika kanisa Katoliki wamenukuliwa na baadhi ya vyombo vya habari wakisema kwamba ziara hii ambayo ni ya pili Papa Francis kuwahi kuifanya kusini mwa jangwa la Sahara Afrika, ni fursa muhimu kutoa wito mpya uliogubikwa katika barua yake ya mnamo 2015 inayuhusu kulinda mazingira.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...