Search This Blog
Sunday, September 15, 2019
Nikki Mbishi Ampongeza Harmonize Kuondoka WCB
Rapa wa muziki wa Hip Hop nchini, Nikki Mbishi amevunja ukimya kwa kumpa pongezi msanii mwenzake upande wa Bongo Fleva, Harmonize kwa kuamini anaweza kusimama na kuanzisha familia nyingine.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Nikki azungumzia kufuatia hatua hiyo aliyopiga mkali huyo kwa kuamua kuanzisha familia yake ya Konde Gang.
Aidha, Nikki ameandika kuwa ilibidi wakina Sugu na ProfessorJay wawe Ma CEO wa kampuni kubwa za muziki lakini hawajaweza kufanya hivyo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...

No comments:
Post a Comment