Search This Blog
Friday, September 20, 2019
Nandy Avunja Ukimya Ishu ya Mimba yake
BAADA ya habari kuzagaa kuwa ana mimba, mrembo anayefanya vizuri kwenye muziki wa Bongo Fleva, Faustina Charles ‘Nandy’ amevunja ukimya na kueleza ukweli.
Akibonga na Mikito Nusunusu, Nandy alisema kuwa hana mimba bali amekuwa na kitambi tu ambacho kinamkosesha raha kwani watu wengi wanajua kuwa ni mama kijacho.
“Jamani sina mimba, hiki kitambi tu sijui hata kimetokea wapi, hivi nafanya mpango wa kukipunguza maana kinanikosesha raha na kila mtu anaamini nina mimba jambo ambalo si kweli kwani sina mpango wa kupata mtoto kabla ya ndoa,” alisema Nandy.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment