Search This Blog
Thursday, September 5, 2019
Mwanamke akamatwa uwanja wa ndege akiwa amemficha mtoto wa siku sita kwenye begi
Maafisa wa uhamiaji wa Ufilipino wamemkamata mwanamke mmoja raia wa Marekani ambaye alikamatwa katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Ninoy Aquino akijaribu kumtorosha mtoto mchanga mwenye umri wa siku 6 akiwa amemficha kwenye begi lake.
Naibu msemaji wa idara ya uhamiaji ya Ufilipino, Melvin Mabulac alisema kuwa mwanamke huyo mwenye umri wa miaka 43 alikuwa apande ndege ya kuelekea New York alipokamatwa baada ya mzigo wake kukaguliwa na mtoto huyo kugunduliwa.
“Yule mtoto alikuwa amefichwa kwenye begi kubwa,” alisema Naibu msemaji wa idara ya uhamiaji ya Ufilipino.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment