Search This Blog
Monday, September 2, 2019
Mrithi wa Lissu aapishwa, Spika Ndugai atoa neno
Leo Septemba 03, 2019 Bungeni jijini Dodoma, Miraji Mtaturu ameapishwa kuwa Mbunge wa Jimbo la Singida Mashariki kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Amechukua nafasi ya aliyekuwa Mbunge wa Jimbo hilo Tundu Lissu, ambaye alivuliwa Ubunge na ofisi ya Spika wa Bunge.
"Sasa watu wa Singida Mashariki wanaye mwakilishi halisi bungeni."- Spika wa Bunge, Job Ndugai akimkaribisha Mbunge Miraji Mtaturu (CCM) bungeni leo baada ya kuapishwa.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment