Search This Blog
Sunday, September 8, 2019
Mechi ya Mbeya City na Yanga yaahirishwa
Bodi ya Ligi Kuu Tanzania bara imeuondoa kwenye ratiba mchezo wa ligi kuu kati ya Mbeya City na Yanga uliopangwa kuchezwa Septemba 18 mwaka huu na sasa mchezo huo utapangiwa tarahe nyingine.
Taarifa kutoka bodi ya ligi inaeleza kuwa sababu za kuondoa mchezo huo ni kuipa nafasi timu ya Yanga kujiandaa na mchezo wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya Zesco ya nchini Zambia.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment