Search This Blog
Tuesday, September 17, 2019
Mbwana Samatta aweka rekodi UEFA
Ni mechi ambayo Mbwana Samatta hataisahau maishani mwake kwa mambo matatu kuwa mtanzania wa kwanza kucheza European Champions League na pia kufunga goli katika mechi yake ya kwanza ya UEFA CL.
Matokeo ya 6-2 dhidi ya Salzburg hayakuwa mazuri lakini Samatta ameandika rekodi binafsi na za kitaifa. Mtanzania gani mwingine anaelekea huko alifika Samatta?.
Pia katika mchezo huo Samatta alionyeshwa kadi nyekundu kabla referee hajaenda kuangalia tukio hilo upya ili kujiridhisha kupitia teknolojia mpya ya VAR ambayo ilimuonyesha haikua straight red card badala yake aliibadi na kumpa kadi ya njano
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...

No comments:
Post a Comment