Search This Blog

Monday, September 2, 2019

MAJALIWA AZUNGUMZA NA MSHAURI WA MASUALA YA AFYA WA JAPAN

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mshauri Maalum wa Masuala ya Afya wa Taasisi ya Tokushukai General Incorporated ambayo iko chini ya serikali ya Japan , Bw. Akio Egawa kwenye uwanja wa ndege wa Narita nchini Japan kabla ya kuondoka kurejea nyumbani baada ya kukamilisha ziara yake ya kikazi nchini humo, Septemba 2, 2019.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiagana na wafanyakazi wa hoteli ya Yokohama Bay nchini Japan alikokuwa amefikia wakati alipoondoka kurejea nyumbani baada ya kumaliza ziara yake ya kikazi, Septemba 2, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...