Lulu Diva Amefunguka haya
"Nakula Sana Matikiti na Maembe ndio Maana Nakuwa Mweupe, Kula matikiti asubuho mchana na jioni utaona unavyokuwa Mweupe
"Mimi Original labda tu vitu ambayo nimevaa kama nywele ndio sio orijino, nina aibu asilimia 77.99 ndio maana sijiamini bila miwani"
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...


No comments:
Post a Comment