Search This Blog

Wednesday, September 11, 2019

Kimenuka..Mabaharia wa UKWELI Watoa Tamka Kuhusu Dhihaka ya Jina Baharia Inayoendelea


Chama cha Mabaharia kimesikitishwa sana na kinakemea kitendo cha vijana wasio na vigezo kujiita mabaharia.

Chama hicho kimechukizwa na utani unaoendelea mitandaoni, kwasababu unaweza kuleta athari kwenye carrier ya ubaharia.

Pichani ni katibu wa chama cha mabaharia captain. ISAYA MWAKIBUDA

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...