Search This Blog
Thursday, September 19, 2019
Hasheem Kwenye Majaribio na Klabu ya New York Knicks kwa mara nyingine
NI Headlines za mtanzania anaecheza mpira wa kikapu ,Hasheem Thabeet ambapo wiki kadhaa zilizopita alionekana kwenye ukurasa wa instagram wa klabu ya New York Knicks akiwa na wachezaji wenzake pamoja na makocha wao.
Sasa leo Sept 19, 2019 imetoka taarifa nyingine kwamba Hasheem yuko kwenye majaribio na timu kuangaliwa uwezekano wa kusajiliwa na kwasasa ninazungumza yupo na ratiba ya kushiriki mazoezi na club hiyo ya Knicks kwa mara nyingine wiki hii huko Westchester.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment