Search This Blog

Monday, September 9, 2019

BREAKING: Tetemeko la ardhi latokea mkoani Katavi


Inaripotiwa kuwa Tetemeko la ardhi limetokea katika mkoa wa Katavi na kuyakumba maeneo mbalimbali ya mkoa huo.

Mjiolojia Mwandamizi kutoka Taasisi ya jiolojia Bw.Gabriel Mbogoni amesema tetemeko hilo  lina ukubwa wa 5.2 katika vipimo vya ritcha.

Kwa upande wake Kamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi Benjamin Kuzaga amesema tetemeko hilo limepiga maeneo kadhaa lakini hadi sasa hakuna mathara yoyote yaliyojitokeza.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...