Search This Blog

Thursday, September 26, 2019

Balozi wa Italia nchini atembelea Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete

Daktari bingwa wa wagonjwa wa moyo waliolazwa katika chumba cha uangalizi maalum (ICU) Vivian Mlawi akimwelezea Balozi wa Italia nchini  Mhe. Roberto Mengoni maendeleo ya hali za wagonjwa waliofanyiwa upasuaji  wakati wa ziara fupi iliyofanywa na balozi huyo ya  kutembelea kambi maalum inayofanywa na madaktari bingwa wa magonjwa ya moyo kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana  na wenzao wa Shirika la Mending Kids International. Katikati ni Kaimu Mkurugenzi wa Kurugenzi ya Upasuaji Dkt. Angela Muhozya





No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...