BAADA ya kuonekana akiongea bila breki, staa wa filamu Bongo, Jacqueline Wolper amesema siku hizi anaona mdomo wake hauna staa mpaka anahisi utapigwa juju.
Akizungumza na Za Motomoto ya Risasi, Wolper alisema anajishangaa kwa nini siku hizi akipewa kipaza sauti maneno yanatoka bila hata kupiga kituo.
“Unajua baada ya kumaliza kuongea siku zote nikisikiliza najiuliza mdomo wangu una nini, ingawaje nakuwa katika hayo maneno nimeongea ukweli kabisa, inafika wakati mpaka nawaza watakuja kuupiga juju uende upande,” alisema Wolper
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment