Search This Blog

Friday, August 16, 2019

Wema Sepetu 'Tatizo la Uzazi Niliyokuwa Nalo Limeshatatuliwa'


MUIGIZAJI nyota ambaye anatokea katika kiwanda cha filamu cha Bongo movi, Tanzanian 'Sweetheart', Wema Sepetu, amesema bado anatamani kuwa na mtoto na hakuwahi kuacha kumtamani.

Amesema shida ya kutopata mtoto ilichangiwa kuwa na matatio katika mfumo wa uzazi kitu kilichopelekea kushindwa kubeba ujauzito.

Wema amesema kwa sasa tatizo hilo limeshatibiwa hivyo chochote kinaweza kuhapeni.

Mshindi huyo wa tuzo ya ulimbwende mwaka 2006, amesema kwa sasa amekuwa, hivyo ameacha kufanya mambo yatakayoichafua heshima yake,huku akidai yupo anapiga dili kwa kuwa balozi kwenye kampuni za ndani na nje ya nchi na anaimani michongo mingi itaendelea kumiminika.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...