Search This Blog

Wednesday, August 21, 2019

Waziri wa Mifugo na Uvuvi Luhaga Mpina AIVUNJA Bodi ya Wakurugenzi ya Bodi ya Maziwa Tanzani

Waziri wa Mifugo na Uvuvi Luhaga Mpina, ametangaza kuivunja Bodi ya Wakurugenzi ya Bodi ya Maziwa Tanzania, kuanzia leo August 22, 2019 kutokana na kutoridhishwa na utendaji wa kazi zao.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...