Search This Blog

Monday, August 12, 2019

Waislam Washerehekea Eid Al Hajj

Waumini ya dini ya Kiislam nchini Tanzania wameuangana na wenzao duniani kote kusherehekea Sikukuu ya Eid Al Hajj ambayo Swala ya kitaifa imefanyika katika viwanja vya Masjid Kibaden Chanika Zogowali Ilala jijini Dar es salaam.






No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...