Search This Blog
Thursday, August 29, 2019
Virgil van Dijk ang’ara tuzo za UEFA, Lionel Messi akwara moja, Ronaldo atoka kapa
Mshambuliaji wa klabu ya Barcelona, Lionel Messi na beki wa Liverpool, Virgil van Dijk wameng’ara kwenye usiku wa ugawaji wa tuzo za Shirikisho la soka barani Ulaya (UEFA) za msimu wa 2018/19 .
Kwenye tuzo hizo, Messi ameibuka na tuzo ya mshambuliaji bora barani Ulaya, huku kiungo wa Barcelona, De Jong akiibuka na tuzo ya kiungo bora.
Naye, Beki wa Liverpool, Virgil van Dijk amechukua tuzo ya mchezaji bora barani Ulaya kwa msimu wa 2018/19 na Beki bora barani Ulaya akiwamwaga Lionel Messi na Ronaldo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment