Search This Blog

Thursday, August 29, 2019

VIDEO: Neema yashuka Mkoa wa Dodoma mradi kuanza kutekelezwa


Mamlaka ya Maji Safi na usafi wa mazingira Dodoma, DUWASA imeanza kutekeleza mradi wa maji ya Ntomoko Wilayani Kondoa, Mkoa wa Dodoma, na wamebainisha kuwa maandalizi yote yapo tayari na wameshaanza kutekeleza mradi huo pamoja na kuagiza mabomba nje ya nchi.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.....USIKOSE KU-SUBSCRIBE



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...